
Mbunge wa Muleba Kusini Mh. Prof Anna Tibaijuka ameshiriki misa katika kanisa la Kasaidolo mjini Bukoba jumapili ya tarehe 27/12/2015.Baada ya misa mheshimiwa alishiriki katika kikao kilichofanyika kanisani hapo.(Picha na Mansoor Amri Kahauza) Mh. Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na Askofu Methodius Kilaini, Kulia ni Mama Rugimbana. Share on:

15-12-2015 Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka ameshinda kesi ya malalamiko ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini ndugu Kashasla.Jaji wa mahakama kuu mkoa wa Kagera ameondoa shataka hilo.(Picha na Mansoor Amri Kahauza) Share on:

09/12/2015 Prof Anna Tibaijuka,Mbunge wa Muleba Kusini akiadhimisha sikukuu ya Uhuru(miaka 54 ya uhuru) kwa kufanya usafi wa mazingira pamoja na wakazi wa Muleba Kusini katika kutekeleza agizo la Raisi John Pombe Magufuli. (Picha na Mansoor Amri Kahauza) Share on:

Mbunge wa Muleba Kusini, Prof Anna Tibaijuka akiwa katika kikao cha baraza la Madiwani mara baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba ambapo Bw. Kamugisha aliibuka mshindi kwa akupata kura 45.(Picha na Mansoor Amri Kahauza) Share on:

Tarehe 6/12/2015 Mbunge wa Muleba Kusini,Prof Anna Tibaijuka audhuria kikao cha kumchagua mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya aya Muleba ambapo ndugu Kamugisha diwani kata ya Kikuku alipata kura 34 na ndugu Magongo diwani kata ya Muhutwe alipata kura 10. Share on:

Mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini kwa tiketi ya CCM Prof. Tibaijuka akiwautubia maelfu ya wakazi wa kata ya Kishanda katika mfululizo wa kampeni za uchaguzi 2015.Pamoja na kuhutubia Prof Tibaijuka alimnadi mgombea udiwani wa kata hiyo ndugu Denis Charles Mtajwaa Share on:

13-10-2015 mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini Prof. Mama Anna Tibaijuka akimpokea mgombea Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kata ya Kasharunga,Muleba Kusini . Share on:

11-10-2015 Mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM Prof Anna Tibaijuka akinadi ilani ya CCM kwa wakazi wa kata ya Karambi na kutembelea baadhi ya vitongoji ikiwa ni pamoja na Rugasha,Bushoko.Akiwa kata ya Karambi alihitimisha kwa kufanya mkutano wa mwisho centre ya Madalena ambako kuliudhuliwa na umati mkubwa wa watu.(Picha na Kamanzi) […]

04/10/2015 Umati wa wakazi wa kijiji cha Kanyerenyere kata ya Kyebitembe wakiwa katika Mkutano wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka Share on: