Katibu wa CCM mkoa wa kagera mama Costansia Buhiye akimkabidhi ilani ya CCM Prof. Mama Anna Tibaijuka mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za ubunge. Share on:
12/9/2015 Prof Mama Anna Tibaijuka akikabidhiwa ilani ya CCM na mama Costansia Buhiye katibu wa CCM mkoa wa kagera katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Share on:
Prof Anna Tibaijuka akielekea nyumbani kwake Kagabiro na kusindikizwa na umati wa wananchi mara baada ya kutanganzwa kuwa mshindi wa kura ya maoni kupitia CCM. Share on:
03/08/2015 katibu wa CCM wilaya ya Muleba Bw Nshange akimtangaza Prof Anna Tibaijuka kuwa mshindi wa kura za maoni kupitia CCM jimbo la Muleba Kusini amabapo alishida kwa kupata jumla ya kura 17425 sawa na 63% .Katika kinyang’anyiro hicho kulikuwa na jumla ya wagombea tisa. Share on:
Tarehe 1/8/2015 Prof Anna Tibaijuka akipiga kura ya maoni katika kituo cha Tukutuku tawi la Kagabiro kuchagua Mbunge atakaye peperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu octoba 25 Share on:
Mbunge wa Muleba Kusini, Prof Anna Tibaijuka siku ya tarehe 04/06/2015alitembelea kijiji cha Kagazi kata ya Nshamba na kupokelewa na umati mkubwa wa wananchi.Vikundi 110 vya miradi ya maendeleo vilifika kumkaribisha Share on:
Mbunge wa muleba kusini Prof Anna Tibaijuka alitembelea kata ya kimwani kijiji cha kaguramo kitongoji cha kaazi nyakishabo na kulakiwa namamia ya wananchi waliopanda mlimani wakiwa na matawi ya miti huku wakiimba. Kaazi ni kambi kubwa ya wavuvi Mwenyekiti wa kitongoji cha Kaazi Nyakishabo Ndugu Ojax Dorolyma Lyapa alionyesha furaha yake kwa kusoma risala ya […]
Minister for Lands, Housing and Human Settlement Development, Prof Anna Tibaijuka (MP) in Bulembo village has donated one tonne of Lyamongo 90 beans (produced in her own farm ) as assistance to several families whose farms were severely affected by strong winds that swept across Kamachumu in Bulembo village.Also Minister Tibaijuka donated 250 kilogram of […]
Deputy Minister for Health and social work cuts a ribbon to inaugurate the MSD Muleba sales point, beside is the minister for Land Housing and Human Settlement Development Prof Anna Tibaijuka(MP) observing the opening. Together Photo (Photo by Solomon Alfred – Tibaijuka’ private photographer) Place: Muleba, Kagera Date: 08-03-2014 Share on: