Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka

Prof Anna K.Tibaijuka ashinda kwa kishindo kura za maoni za chama cha Mapinduzi jimbo la Muleba Kusini

03/08/2015 katibu wa CCM wilaya ya Muleba Bw Nshange akimtangaza Prof Anna  Tibaijuka kuwa mshindi  wa kura za maoni kupitia CCM jimbo la Muleba Kusini amabapo alishida kwa kupata jumla ya kura 17425 sawa na 63% .Katika kinyang’anyiro hicho kulikuwa na jumla ya wagombea tisa.

MATOKEO KURA ZA MAONI MULEBA KUSINI

matokeo Kura za maoni

 

IMG_0546

IMG_0575

IMG_0563

 

Posted by on Aug 4 2015. Filed under 2015 General Election, Chama cha mapinduzi, Muleba South Constituency. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Both comments and pings are currently closed.

Comments are closed

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya