Prof Anna Tibaijuka(Mb) atembelea Kijiji cha Kagazi kata ya Nshamba na kupokelewa na mamia ya wananchi
Mbunge wa Muleba Kusini, Prof Anna Tibaijuka siku ya tarehe 04/06/2015alitembelea kijiji cha Kagazi kata ya Nshamba na kupokelewa na umati mkubwa wa wananchi.Vikundi 110 vya miradi ya maendeleo vilifika kumkaribisha
Posted by Noel Mubeya
on Jun 7 2015. Filed under 2015 General Election, Chama cha mapinduzi, Muleba South Constituency.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0.
Both comments and pings are currently closed.