Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka

Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka, akiuzulia mazishi ya hayati MZEE SAMWELI NTAMBALA LUANGISA

prof

Prof Tibaijuka  akiuzulia mazishi ya Mzee Samweli Ntambala Luangisa aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa kwanza wa ziwa magharibi,mkuu wa mkoa wa mara,balozi wa Tanzania katika nchi za jamhuri ya watu wa China,Balozi Jamhuri ya watu wa Korea,Jamhuri ya watu wa Zaire miaka ya 1973-1975.Pia alipata kuwa meya wa manispaa ya Bukoba na Mbunge wa wa Jimbo la Bukoba Mjini kwa zaidi ya miaka 35

 

11414510_870513632996787_1570976362_n

 

Posted by on Jun 5 2015. Filed under Muleba South Constituency. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Both comments and pings are currently closed.

Comments are closed

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya