22/11/2015 Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka akipiga kura katika uchaguzi mdogo wa diwani kata ya Muleba

Share on:

Share on:

Share on:

Share on:

Share on:

Mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini kwa tiketi ya CCM Prof. Tibaijuka akiwautubia maelfu ya wakazi wa kata ya Kishanda katika mfululizo wa kampeni za uchaguzi 2015.Pamoja na kuhutubia Prof Tibaijuka alimnadi mgombea udiwani wa kata hiyo ndugu Denis Charles Mtajwaa Share on:

13-10-2015 mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini Prof. Mama Anna Tibaijuka akimpokea mgombea Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kata ya Kasharunga,Muleba Kusini . Share on:

11-10-2015 Mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM Prof Anna Tibaijuka akinadi ilani ya CCM kwa wakazi wa kata ya Karambi na kutembelea baadhi ya vitongoji ikiwa ni pamoja na Rugasha,Bushoko.Akiwa kata ya Karambi alihitimisha kwa kufanya mkutano wa mwisho centre ya Madalena ambako kuliudhuliwa na umati mkubwa wa watu.(Picha na Kamanzi) […]

04/10/2015 Umati wa wakazi wa kijiji cha Kanyerenyere kata ya Kyebitembe wakiwa katika Mkutano wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka Share on:

Mh. Prof Anna Tibaijuka akihutubia wakazi wa kata ya Kashasha jimbo la Muleba Kusini katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Kashasha mapema jumamosi ya tarehe 03-10-2015.(Picha na Share on:

Share on:

Share on:

Mh. Prof AnnaTibaijuka, mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM akiwanadi madiwani wa kata Mazinga. Share on:

Mgombea uraisi kupitia CCM Dr. John Magufuli na mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka wakiwa katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015 uliofanyika Muleba Kusini, Septemba 2015(picha na Kamanzi) Share on:
Death of IESCO Founder in Beijing Dr. Jiang Mingjun, 1956-2017. RIP shocks Africa
Prof Anna Tibaijuka(MP) attends 11th form six graduation ceremony for the Barbro Johanson Model Girls’ Secondary School
Goodbye Sr. George Kahama.You were our inspiration form childhood and our role model.Rest in peace we love you – Bishop Method Kilaini
Mama Tibaijuka akionyesha mfano wa jinsi ya kupanda mihogo nyumbani kwake Dar es salaam
Mtandao wa Equality For Her umemtaja Prof.Tibaijuka miongoni mwa wanawake majasiri,hodari shujaa ktk kupigania haki za wanawake na maendeleo kwa ujumla Duniani.
SIKU WA WANAWAKE DUNIANI: Prof Tibaijuka apata tuzo ya uongozi bora kimataifa na kitaifa