Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka
Category archives for: Prof Tibaijuka’s Daily Photo News

Prof Anna Tibaijuka ,mbunge wa Muleba kusini amefiwa na mama yake mzazi ma Aurelia Kajumulo

Share on:

Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka akinunua vitabu vya dini mara baada ya kumalizika misa ya jumapili

Share on:

Prof Anna Tibaijuka mbunge wa muleba kusini akisalimiana na mama Getrude Mongela mbunge wa Bunge la Afrika mashariki

Share on:

Mh Prof Anna Tibaijuka(mb) akiwa katika kikao cha Halmashauri ya wilaya ya Muleba

Tarehe 05-02-2016 Mh Prof Anna Tibaiujuka,mbunge wa Muleba Kusini ameshiriki katika kikao cha Halmashauri ya wilaya ya Muleba kilichofanyika wilayani Muleba Share on:

Tarehe 04-02-2016 Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka ameshiriki mazishi ya diwani wa kata ya Kimwani Marehemu Faustine Muliga (CUF)

Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka, ameshiriki mazishi ya aliyekuwa diwani kata ya Kimwani Marehemu  Faustine Muliga (CUF) aliyeuawa kwa kushambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana.   Share on:

On 13-01-2016 Hon. Prof Tibaijuka visits the CRDB Bank in Dar es salaam City Centre

Share on:

Mbunge wa Muleba kusini Prof Anna Tibaijuka atembelea studio za Azam TV jijini Dar es salaam 11-01-2016

Share on:

Muanzilishi wa BAWATA Prof Anna Tibaijuka(mb) amekutana na waasisi wa BAWATA

Muanzilishi wa Baraza la Wanawake Tanzania(BAWATA) Prof Anna Tibaijuka (mb) amekutana na waasisi wa BAWATA Kinondoni Dar es salaam tarehe 11-01-2015.     Share on:

8 January 2016 hayati Balozi Wilson Tibaijuka,mume wa Prof Anna Tibaijuka angefikisha miaka 71 ya kuzaliwa.

Tarehe 8-01-2016 Hayati Balozi Wilson Tibaijuka,mume wa Prof Anna Tibaijuka angefikisha miaka 71 ya kuzaliwa.Pichani ni mwaka 1988 akiwa amembeba mwanae Kagem nyumbani kwao Makongo juu jijini Dar es salaam.Balozi Tibaijuka alifariki mwaka 2000 akiwa na umri wa miaka 55.Apumzike kwa amani Share on:

Tarehe 7-1-2016 mbunge wa muleba Kusini,Prof Tibaijuka amekutana na balozi wa Sweeden nchini Tanzania.

Mbunge wa Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM Mh. Prof Anna Tibaijuka amekutana na balozi wa Sweeden nchini Tanzania tarehe 7-1-2016 jijini Dar es salaam. Share on:

Mh Prof Tibaijuka akikabidhiwa zawadi na mwl.Halima Kamote, mwalimu mkuu shule ya wasichana ya Barbro Johansson Model Girls’ Sec School

Share on:

Mh. Anna Tibaijuka(MB) ashiriki misa katika kanisa la katoliki parokia ya mikocheni,Dar es salaam jumapili ya tarehe 3-1-2016

Share on:

Prof Anna Tibaijuka,mbunge wa Muleba Kusini ashiriki katika mkutano wa Maendeleo ya Manispaa ya Bukoba(BUMUDECO)

Mbunge wa Muleba Kusini Mh. Prof Anna Tibaijuka ,ameshiriki katika ufunguzi wa mkutano wa maendeleo ya manispaa ya Bukoba,Bukoba Municipal Developmental Conference(BUMUDECO) uliyofanyika tarehe 27-12-2015 mjini Bukoba.Walioudhulia mkutano huo ni pamoja na mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Mh.Wilfred Lwakatare,Bw. James Rugemalila,Askofu Methodius Kilaini pamoja na wadau wengineo wa maendeleo(Picha na Mansoor Amri Kahauza) Share on:

Jumapili ya 27/12/2015 Prof Anna Tibaijuka(MB) ashiriki misa kanisa la Kasaidolo,mjini Bukoba

Mbunge wa Muleba Kusini Mh. Prof Anna Tibaijuka ameshiriki misa katika kanisa la Kasaidolo mjini Bukoba jumapili ya tarehe 27/12/2015.Baada ya misa mheshimiwa alishiriki katika kikao kilichofanyika kanisani hapo.(Picha na Mansoor Amri Kahauza) Mh. Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na Askofu Methodius Kilaini, Kulia ni Mama Rugimbana.   Share on:

19-12-2015 Mbunge wa Muleba Kusini,Prof Anna Tibaijuka atembelea mnada wa Mbunda uliyopo Muleba

Share on:

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya