Prof Anna Tibaijuka ,mbunge wa Muleba kusini amefiwa na mama yake mzazi ma Aurelia Kajumulo

Share on:

Share on:

Share on:

Share on:

Tarehe 05-02-2016 Mh Prof Anna Tibaiujuka,mbunge wa Muleba Kusini ameshiriki katika kikao cha Halmashauri ya wilaya ya Muleba kilichofanyika wilayani Muleba Share on:

Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka, ameshiriki mazishi ya aliyekuwa diwani kata ya Kimwani Marehemu Faustine Muliga (CUF) aliyeuawa kwa kushambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Share on:

Share on:

Muanzilishi wa Baraza la Wanawake Tanzania(BAWATA) Prof Anna Tibaijuka (mb) amekutana na waasisi wa BAWATA Kinondoni Dar es salaam tarehe 11-01-2015. Share on:

Tarehe 8-01-2016 Hayati Balozi Wilson Tibaijuka,mume wa Prof Anna Tibaijuka angefikisha miaka 71 ya kuzaliwa.Pichani ni mwaka 1988 akiwa amembeba mwanae Kagem nyumbani kwao Makongo juu jijini Dar es salaam.Balozi Tibaijuka alifariki mwaka 2000 akiwa na umri wa miaka 55.Apumzike kwa amani Share on:

Mbunge wa Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM Mh. Prof Anna Tibaijuka amekutana na balozi wa Sweeden nchini Tanzania tarehe 7-1-2016 jijini Dar es salaam. Share on:

Share on:

Share on:

Mbunge wa Muleba Kusini Mh. Prof Anna Tibaijuka ,ameshiriki katika ufunguzi wa mkutano wa maendeleo ya manispaa ya Bukoba,Bukoba Municipal Developmental Conference(BUMUDECO) uliyofanyika tarehe 27-12-2015 mjini Bukoba.Walioudhulia mkutano huo ni pamoja na mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Mh.Wilfred Lwakatare,Bw. James Rugemalila,Askofu Methodius Kilaini pamoja na wadau wengineo wa maendeleo(Picha na Mansoor Amri Kahauza) Share on:

Mbunge wa Muleba Kusini Mh. Prof Anna Tibaijuka ameshiriki misa katika kanisa la Kasaidolo mjini Bukoba jumapili ya tarehe 27/12/2015.Baada ya misa mheshimiwa alishiriki katika kikao kilichofanyika kanisani hapo.(Picha na Mansoor Amri Kahauza) Mh. Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na Askofu Methodius Kilaini, Kulia ni Mama Rugimbana. Share on:
Death of IESCO Founder in Beijing Dr. Jiang Mingjun, 1956-2017. RIP shocks Africa
Prof Anna Tibaijuka(MP) attends 11th form six graduation ceremony for the Barbro Johanson Model Girls’ Secondary School
Goodbye Sr. George Kahama.You were our inspiration form childhood and our role model.Rest in peace we love you – Bishop Method Kilaini
Mama Tibaijuka akionyesha mfano wa jinsi ya kupanda mihogo nyumbani kwake Dar es salaam
Mtandao wa Equality For Her umemtaja Prof.Tibaijuka miongoni mwa wanawake majasiri,hodari shujaa ktk kupigania haki za wanawake na maendeleo kwa ujumla Duniani.
SIKU WA WANAWAKE DUNIANI: Prof Tibaijuka apata tuzo ya uongozi bora kimataifa na kitaifa