Tarehe 04-02-2016 Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka ameshiriki mazishi ya diwani wa kata ya Kimwani Marehemu Faustine Muliga (CUF)
Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka, ameshiriki mazishi ya aliyekuwa diwani kata ya Kimwani Marehemu Faustine Muliga (CUF) aliyeuawa kwa kushambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana.
Posted by Noel Mubeya
on Feb 6 2016. Filed under Muleba South Constituency, Prof Tibaijuka's Daily Photo News.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0.
Both comments and pings are currently closed.