Hon Prof Anna Tibaijuka signing the certificate of election following her parliamentary seat’s victory in the 2015 Tanzania elections
Share on:
Share on:
Share on:
Share on:
Mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini kwa tiketi ya CCM Prof. Tibaijuka akiwautubia maelfu ya wakazi wa kata ya Kishanda katika mfululizo wa kampeni za uchaguzi 2015.Pamoja na kuhutubia Prof Tibaijuka alimnadi mgombea udiwani wa kata hiyo ndugu Denis Charles Mtajwaa Share on:
13-10-2015 mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini Prof. Mama Anna Tibaijuka akimpokea mgombea Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kata ya Kasharunga,Muleba Kusini . Share on:
11-10-2015 Mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM Prof Anna Tibaijuka akinadi ilani ya CCM kwa wakazi wa kata ya Karambi na kutembelea baadhi ya vitongoji ikiwa ni pamoja na Rugasha,Bushoko.Akiwa kata ya Karambi alihitimisha kwa kufanya mkutano wa mwisho centre ya Madalena ambako kuliudhuliwa na umati mkubwa wa watu.(Picha na Kamanzi) […]
04/10/2015 Umati wa wakazi wa kijiji cha Kanyerenyere kata ya Kyebitembe wakiwa katika Mkutano wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka Share on:
Mh. Prof Anna Tibaijuka akihutubia wakazi wa kata ya Kashasha jimbo la Muleba Kusini katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Kashasha mapema jumamosi ya tarehe 03-10-2015.(Picha na Share on: