Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka
Archive for: September, 2015

Mh. Prof Tibaijuka akiwa katika kampeni kata ya Mazinga, Muleba Kusini

Mh. Prof  AnnaTibaijuka, mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM  akiwanadi madiwani wa kata Mazinga. Share on:

Mkutano wa kampeni za Urasi na Ubunge jimbo la Muleba Kusini

Mgombea uraisi kupitia CCM Dr. John Magufuli na mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka wakiwa katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu  2015 uliofanyika Muleba Kusini, Septemba 2015(picha na Kamanzi) Share on:

Prof Anna Tibaijuka akiwa pamoja na umati wa watu kumpokea Dr. John Magufuli akitokea kigoma na kuingia Kalenga Kagera mpaka wa kigoma na Biharmulo

Share on:

Mh. Prof Tibaijuka akiwa kwenye kampeni Ikuza Mazinga

      Share on:

Prof Anna Tibaijuka akielekea katika uzinduzi wa kampeini wa diwani Futunatus Matta wa Ikuza jumatatu 14/9/2015

Share on:

Prof. mama Anna Tibaijuka akikabidhiwa ilani ya CCM katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za ubunge jimbo la Muleba kusini 12/09/2015

Katibu wa  CCM mkoa wa kagera mama Costansia Buhiye akimkabidhi ilani ya CCM Prof. Mama Anna Tibaijuka mgombea ubunge   jimbo la Muleba Kusini katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za ubunge. Share on:

Ufunguzi wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini kwa tiketi ya CCM Prof. Mama Anna Tibaijuka

12/9/2015 Prof Mama Anna Tibaijuka akikabidhiwa ilani ya CCM na mama Costansia Buhiye katibu wa  CCM mkoa wa kagera katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za mgombea ubunge   jimbo la Muleba Kusini   Share on:

Kwa Maendeleo ya Tanzania na Muleba Kusini chagua CCM, chagua Dr. John Pombe Magufuli na Prof Anna Kajumulo Tibaijuka

Share on:

Kwa maendeleo ya Muleba Kusini 2015 chagua Anna Kajumulo Tibaijuka

Share on:

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya