Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka
Archive for: March, 2016

Condolence message from His excellence Yoweri Kaguta Museveni to Hon. Prof Anna Tibaijuka

Click here to download the condelence message Share on:

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atoa pole kwa Prof. Anna Tibaijuka kwa kufiwa na mama yake

Tarehe 15-03-2016 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa atoa pole kwa Mbunge wa Muleba Kusini,Profesa Anna Tibaijuka kwa kufiwa na mama yake mzazi Ma Aurelia Kajumulo.Waziri mkuu aliongozana na  Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Dk. Medard Kalemani na Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni .   Share on:

Mhe, Prof. Anna Tibaijuka mbunge wa muleba kusini anasikitika kutangaza kifo cha Mama yake mzazi Ma Auleria Kajumulo

Mhe, Prof. Anna Tibaijuka mbunge wa muleba kusini anasikitika kutangaza kifo cha Mama yake mzazi Ma Auleria Kajumulo kilichotokea leo alhamisi tarehe 10.3.2016 katika hospitali ya kagondo msiba upo nyumbani kwa Profesa kagabilo tarehe ya mazishi itatangazwa baadae wanasubiliwa ndg kutoka Ulaya na Marekani. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Amina. Share on:

Prof Anna Tibaijuka ,mbunge wa Muleba kusini amefiwa na mama yake mzazi ma Aurelia Kajumulo

Share on:

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya