Condolence message from His excellence Yoweri Kaguta Museveni to Hon. Prof Anna Tibaijuka

Click here to download the condelence message Share on:

Click here to download the condelence message Share on:

Tarehe 15-03-2016 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa atoa pole kwa Mbunge wa Muleba Kusini,Profesa Anna Tibaijuka kwa kufiwa na mama yake mzazi Ma Aurelia Kajumulo.Waziri mkuu aliongozana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Dk. Medard Kalemani na Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni . Share on:

Mhe, Prof. Anna Tibaijuka mbunge wa muleba kusini anasikitika kutangaza kifo cha Mama yake mzazi Ma Auleria Kajumulo kilichotokea leo alhamisi tarehe 10.3.2016 katika hospitali ya kagondo msiba upo nyumbani kwa Profesa kagabilo tarehe ya mazishi itatangazwa baadae wanasubiliwa ndg kutoka Ulaya na Marekani. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Amina. Share on:
Death of IESCO Founder in Beijing Dr. Jiang Mingjun, 1956-2017. RIP shocks Africa
Prof Anna Tibaijuka(MP) attends 11th form six graduation ceremony for the Barbro Johanson Model Girls’ Secondary School
Goodbye Sr. George Kahama.You were our inspiration form childhood and our role model.Rest in peace we love you – Bishop Method Kilaini
Mama Tibaijuka akionyesha mfano wa jinsi ya kupanda mihogo nyumbani kwake Dar es salaam
Mtandao wa Equality For Her umemtaja Prof.Tibaijuka miongoni mwa wanawake majasiri,hodari shujaa ktk kupigania haki za wanawake na maendeleo kwa ujumla Duniani.
SIKU WA WANAWAKE DUNIANI: Prof Tibaijuka apata tuzo ya uongozi bora kimataifa na kitaifa