Professor Anna Tibaijuka receive bouquet of flowers shortly after she arrived at Julius Nyerere International airport in Dar es salaam Tanzania

Share on:

Share on:

Former Executive Director of the United Nations Human Settlement Programme, UN HABITAT, Professor Anna Tibaijuka has been awarded the ‘His Royal Highness H.R.H Prince Khalifa bin Salman Al Khalifa Award for Sustainable Development,’ becoming the first woman to receive the award now in its third anniversary. The award is given to individuals or institutions who […]

Matembezi ya kuchangisha fedha mkoa wa Kagera yameongozwa na Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi mjini DSM na kuchangisha zaidi ya Shs.Milioni mia tano. Prof Anna Tibaijuka Mbunge wa Muleba Kusini na pia Mwenyekiti wa waBunge Mkoa wa Kagera alishiriki na kutoa neno la shukrani baada ya Mbunge wa Bukoba Manispaa Mhe Wilfred Lwakatare kuelezea […]

Share on:
Profesa Tibaijuka kasimama bungeni kuchangia hii bajeti ya Viwanda na biashara MHE.PROF.ANNA TIBAIJUKA AKICHANGIA KATIKA BUNGE LA KATIBA Share on:

Prof Anna Tibaijuka the founding trustee and main fundraiser of JOHA TRUST , on 10th September 2016, attends Parents and Teachers Association(PTA) meeting at held at Barbro Johansson Model Girls’ sec school at Luguruni, Dar es salaam Barbro Johansson school has a parent and teachers association committed to improve the school performance using the ideas of parents […]
Death of IESCO Founder in Beijing Dr. Jiang Mingjun, 1956-2017. RIP shocks Africa
Prof Anna Tibaijuka(MP) attends 11th form six graduation ceremony for the Barbro Johanson Model Girls’ Secondary School
Goodbye Sr. George Kahama.You were our inspiration form childhood and our role model.Rest in peace we love you – Bishop Method Kilaini
Mama Tibaijuka akionyesha mfano wa jinsi ya kupanda mihogo nyumbani kwake Dar es salaam
Mtandao wa Equality For Her umemtaja Prof.Tibaijuka miongoni mwa wanawake majasiri,hodari shujaa ktk kupigania haki za wanawake na maendeleo kwa ujumla Duniani.
SIKU WA WANAWAKE DUNIANI: Prof Tibaijuka apata tuzo ya uongozi bora kimataifa na kitaifa