Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea Wilaya ya Muleba na kufika Rubya, hospitali teule ya Wilaya inayomilikiwa na kanisa katoliki.
MULEBA 15 JULAI 2016 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea Wilaya ya Muleba na kufika Rubya, hospitali teule ya Wilaya inayomilikiwa na kanisa katoliki. Alipokelewa kwa shangwe kubwa na wafanyakazi na wauguzi wanafunzi wote wakiongozwa na Mwashamu Askofu Methodius Kilaini, Mkuu wa Wilaya ya Muleba, mkuu wa Mkoa, na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini […]