Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka
Archive for: July, 2016

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea Wilaya ya Muleba na kufika Rubya, hospitali teule ya Wilaya inayomilikiwa na kanisa katoliki.

MULEBA 15 JULAI 2016 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea Wilaya ya Muleba na kufika Rubya,  hospitali teule ya Wilaya inayomilikiwa na kanisa katoliki. Alipokelewa kwa shangwe kubwa na wafanyakazi na wauguzi  wanafunzi wote wakiongozwa na Mwashamu Askofu Methodius Kilaini,  Mkuu wa Wilaya ya Muleba, mkuu wa Mkoa, na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini […]

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya