Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka
Archive for: February, 2016

Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka akinunua vitabu vya dini mara baada ya kumalizika misa ya jumapili

Share on:

Prof Anna Tibaijuka mbunge wa muleba kusini akisalimiana na mama Getrude Mongela mbunge wa Bunge la Afrika mashariki

Share on:

Mh Prof Anna Tibaijuka(mb) akiwa katika kikao cha Halmashauri ya wilaya ya Muleba

Tarehe 05-02-2016 Mh Prof Anna Tibaiujuka,mbunge wa Muleba Kusini ameshiriki katika kikao cha Halmashauri ya wilaya ya Muleba kilichofanyika wilayani Muleba Share on:

Tarehe 04-02-2016 Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka ameshiriki mazishi ya diwani wa kata ya Kimwani Marehemu Faustine Muliga (CUF)

Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka, ameshiriki mazishi ya aliyekuwa diwani kata ya Kimwani Marehemu  Faustine Muliga (CUF) aliyeuawa kwa kushambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana.   Share on:

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya