On 25th March 2017 Muleba south member of parliament, Hon. Prof Anna Tibaijuka attends Form six 11th graduation ceremony for the Barbro Johanson Model Girls’ Secondary School held in Dar es salaam. Share on:
Mama akionyesha mfano bora kupanda mihogo katika bustaninya nyumbani kwake mikocheni Dar es salaam. 14/03/2017. Share on:
Mtandao wa Equality For Her umemtaja Prof.Tibaijuka miongoni mwa wanawake majasiri,hodari shujaa ktk kupigania haki za wanawake na maendeleo kwa ujumla Duniani.Mtandao huu wenye makao yake makuu New York nchini Marekani,ni mtandao ambao umekua ukitambua na kuenzi juhudi na mchango wa wanawake hodari na jasiri duniani kote katika kupigania haki na maendeleo.Kwa mara ya kwanza […]
8/03/2017 Siku ya wanawake duniani. New Mwanza Hotel. Anita Zimbihile kutoka Muleba alipata tuzo ya uigizaji bora. Mhe Vicky Kamata (Mbunge Viti Maalum) tuzo ya mwimbaji bora. Professor tuzo ya uongozi bora kimataifa na kitaifa. Mama Maria Nyerere tuzo ya UONGOZI ULIOTUKUKA. Godfrey Mgaya mjukuu wa Mama Maria ndiye alipokea tuzo kwa niaba ya bibi […]