Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka

23 June 2016 Profesa Anna Tibaijuka amewakaribisha bungeni na wanafunzi wa UDOM kuttoka wilaya ya Muleba

muleba udom

Profesa Tibaijuka(mb) akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa UDOM kutoka wilaya ya Muleba Bungeni Dodoma

Tarehe 23 June 2016 mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka amewakaribisha bungeni wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma wanaotoka wilaya ya Mulebakwa ajili ya ziara ya kimafunzo

Posted by on Jun 25 2016. Filed under Prof Tibaijuka's Daily Photo News. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Both comments and pings are currently closed.

Comments are closed

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya