Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka

Prof Anna Tibaijuka, akiwa katika mkutano wa kampeni kata ya kishanda 14-10-2015

Mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini kwa tiketi ya CCM Prof. Tibaijuka akiwautubia maelfu ya wakazi wa kata ya Kishanda katika mfululizo wa kampeni za uchaguzi 2015.Pamoja na kuhutubia Prof Tibaijuka alimnadi mgombea udiwani wa kata hiyo ndugu Denis Charles Mtajwaa

IMG_2004

Prof. Tibaijuka, mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM akiwajinadi kwa wakazi wa kata ya Kishanda katika kampeni za uchaguzi mkuu 2015

IMG_2025

Maelfu ya wakazi wa kata ya Kishanda wajitokeza kusikiliza sera za mgombea Ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka

IMG_1887

Maelfu ya wakazi wa kata ya Kishanda wajitokeza kusikiliza sera za mgombea Ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka

 

Posted by on Oct 15 2015. Filed under 2015 General Election, Muleba South Constituency, Prof Tibaijuka's Daily Photo News. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Both comments and pings are currently closed.

Comments are closed

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya