Katibu wa CCM mkoa wa kagera mama Costansia Buhiye akimkabidhi ilani ya CCM Prof. Mama Anna Tibaijuka mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za ubunge. Share on:
12/9/2015 Prof Mama Anna Tibaijuka akikabidhiwa ilani ya CCM na mama Costansia Buhiye katibu wa CCM mkoa wa kagera katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Share on:
Prof Anna Tibaijuka akielekea nyumbani kwake Kagabiro na kusindikizwa na umati wa wananchi mara baada ya kutanganzwa kuwa mshindi wa kura ya maoni kupitia CCM. Share on:
03/08/2015 katibu wa CCM wilaya ya Muleba Bw Nshange akimtangaza Prof Anna Tibaijuka kuwa mshindi wa kura za maoni kupitia CCM jimbo la Muleba Kusini amabapo alishida kwa kupata jumla ya kura 17425 sawa na 63% .Katika kinyang’anyiro hicho kulikuwa na jumla ya wagombea tisa. Share on:
Tarehe 1/8/2015 Prof Anna Tibaijuka akipiga kura ya maoni katika kituo cha Tukutuku tawi la Kagabiro kuchagua Mbunge atakaye peperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu octoba 25 Share on:
Mbunge wa Muleba Kusini, Prof Anna Tibaijuka siku ya tarehe 04/06/2015alitembelea kijiji cha Kagazi kata ya Nshamba na kupokelewa na umati mkubwa wa wananchi.Vikundi 110 vya miradi ya maendeleo vilifika kumkaribisha Share on:
Mbunge wa muleba kusini Prof Anna Tibaijuka alitembelea kata ya kimwani kijiji cha kaguramo kitongoji cha kaazi nyakishabo na kulakiwa namamia ya wananchi waliopanda mlimani wakiwa na matawi ya miti huku wakiimba. Kaazi ni kambi kubwa ya wavuvi Mwenyekiti wa kitongoji cha Kaazi Nyakishabo Ndugu Ojax Dorolyma Lyapa alionyesha furaha yake kwa kusoma risala ya […]
CLICK THE LINKS BELOW TO DOWNLOAD Click here to Download Swahili release Click here to Download English release Share on:
Jan 18 2015 | Posted in
Constituency |
Read More »