Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka

Prof Anna Tibaijuka akiwa katika mkutano wa kampeni za Ubunge kata ya Karambi, Muleba

11-10-2015 Mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM Prof Anna Tibaijuka akinadi ilani ya CCM kwa wakazi wa kata ya Karambi na kutembelea baadhi ya vitongoji ikiwa ni pamoja na Rugasha,Bushoko.Akiwa kata ya Karambi alihitimisha kwa kufanya mkutano wa mwisho centre ya Madalena ambako kuliudhuliwa na umati mkubwa wa watu.(Picha na Kamanzi)
IMG_0188

IMG_0208

IMG_0241

IMG_0332

IMG_0415

IMG_0524

IMG_0556

Posted by on Oct 13 2015. Filed under 2015 General Election, Muleba South Constituency, Prof Tibaijuka's Daily Photo News. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Both comments and pings are currently closed.

Comments are closed

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya