Prof. mama Anna Tibaijuka akikabidhiwa ilani ya CCM katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za ubunge jimbo la Muleba kusini 12/09/2015
Katibu wa CCM mkoa wa kagera mama Costansia Buhiye akimkabidhi ilani ya CCM Prof. Mama Anna Tibaijuka mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za ubunge.
Posted by Noel Mubeya
on Sep 14 2015. Filed under Chama cha mapinduzi, Muleba South Constituency.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0.
Both comments and pings are currently closed.