Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka

Vikundi 848 vya kijamii vyamchangia Prof Tibaijuka pesa ya kuchukua fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Muleba Kusini

DSC_5259

Vikundi vya maendeleo ya kijamii kutoka kata 14 za jimbo la muleba kusini vilifika nyumbani kwa Prof Anna Tibaijuka kumtembelea na kumchangia pesa tsh 555,500/=kwa ajiri ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Muleba kusini .Kila kikundi kilituma muwakilishi mmoja nyumbani kajumulo faundition kagabiro tarehe 6/7/2015

 

Posted by on Jul 20 2015. Filed under 2015 General Election, Chama cha mapinduzi, Constituency. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Both comments and pings are currently closed.

Comments are closed

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya