Prof  Anna Kajumulo Tibaijuka
Category archives for: Muleba South Constituency

22/11/2015 Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka akipiga kura katika uchaguzi mdogo wa diwani kata ya Muleba

Share on:

Hon Prof Anna Tibaijuka signing the certificate of election following her parliamentary seat’s victory in the 2015 Tanzania elections

Share on:

Prof Anna Tibaijuka defends her seat as MP of Muleba south constituency in Tanzania Parliament in the 2015 Tanzania Election

Share on:

Pof Tibaijuka akiwa katika mkutano wa kampeni kata BISHEKE 16-10-2015

  Share on:

Prof Anna Tibaijuka, akiwa katika mkutano wa kampeni kata ya kishanda 14-10-2015

Mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini kwa tiketi ya CCM Prof. Tibaijuka akiwautubia maelfu ya wakazi wa kata ya Kishanda katika mfululizo wa kampeni za uchaguzi 2015.Pamoja na kuhutubia Prof Tibaijuka alimnadi mgombea udiwani wa kata hiyo ndugu Denis Charles Mtajwaa   Share on:

Mapokezi ya mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili ,Muleba Kusini

13-10-2015 mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini Prof.  Mama Anna Tibaijuka akimpokea mgombea Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kata ya Kasharunga,Muleba Kusini . Share on:

Prof Anna Tibaijuka akiwa katika mkutano wa kampeni za Ubunge kata ya Karambi, Muleba

11-10-2015 Mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM Prof Anna Tibaijuka akinadi ilani ya CCM kwa wakazi wa kata ya Karambi na kutembelea baadhi ya vitongoji ikiwa ni pamoja na Rugasha,Bushoko.Akiwa kata ya Karambi alihitimisha kwa kufanya mkutano wa mwisho centre ya Madalena ambako kuliudhuliwa na umati mkubwa wa watu.(Picha na Kamanzi) […]

Mkutano wa kampeni za mgombea ubunge Muleba Kusini Prof. Anna Tibaijuka kijiji cha Kanyerenyere kata ya Kyebitembe

 04/10/2015 Umati wa wakazi wa kijiji cha Kanyerenyere kata ya Kyebitembe  wakiwa katika Mkutano wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof.  Anna  Kajumulo Tibaijuka  Share on:

03-10-2015 mgombea ubunge jimbo la Muleba kusini kwa tiketi ya CCM,Prof Anna Tibaijuka akiwa katika mkutano wa kampeni kata Kashasha

Mh. Prof Anna Tibaijuka akihutubia wakazi wa kata ya Kashasha jimbo la Muleba Kusini katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Kashasha mapema jumamosi ya tarehe 03-10-2015.(Picha na  Share on:

Tarehe 02/10/2015 Prof Tibaijuka akiwa katika mkutano wa kampeni kijiji cha Bugara kata ya Rulanda

Share on:

29/9/2015 Prof Tibaijuka akihutubia wakazi wa kata ya Kashalunga katika uzinduzi wa kampeni ya udiwani.

Share on:

Mh. Prof Tibaijuka akiwa katika kampeni kata ya Mazinga, Muleba Kusini

Mh. Prof  AnnaTibaijuka, mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini kwa tiketi ya CCM  akiwanadi madiwani wa kata Mazinga. Share on:

Mkutano wa kampeni za Urasi na Ubunge jimbo la Muleba Kusini

Mgombea uraisi kupitia CCM Dr. John Magufuli na mgombea ubunge jimbo la Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka wakiwa katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu  2015 uliofanyika Muleba Kusini, Septemba 2015(picha na Kamanzi) Share on:

Mh. Prof Tibaijuka akiwa kwenye kampeni Ikuza Mazinga

      Share on:

Prof Anna Tibaijuka akielekea katika uzinduzi wa kampeini wa diwani Futunatus Matta wa Ikuza jumatatu 14/9/2015

Share on:

Photo Gallery

Log in | This website is Designed & Maintained by Noel Mubeya